Jumatano, 3 Agosti 2016

EPUKA VISABABU

�� Unaweza ukajitetea sana jinsi ambavyo hali ni ngumu.

��Unaweza ukajitetea sana jinsi ambavyo huwezi kufikia malengo na ndoto zako lakini ukweli unabaki kwamba hizo sababu na kujitetea hakukubadilishii hali uliyonayo.

�� Uchumi umekua mgumu sana unaweza kutumia hiyo kama sababu ya kujitetea au kama fursa ya kutafuta suluhisho.

☹ Hata Mungu hataki watu wanaojitetea na kutoa sababu kwanini hawawezi na kwanini wamekosea. Kaa kwenye nafasi yako utatue matatizo yako.

��Ifanye akili yako ifikiri. Akili ikishindwa kutumika vyema itatumika vibaya.��

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni